Player_logo Podcasts Community Create a Podcast
Pablo Machine na Vumbi Kahanga Ndekula wa kimukaribisha kijana mtunzi muimbaji toka Bongo King Blais wa kundi la Fm Academia
Explicit
May 07, 2008 05:56 AM PDT
itunes pic
Ijuma 02/05/08 Stockholm media:Lilla Wien restaurang (Södra Station) Pablo Machine na Vumbi Kahanga Ndekula. Wa kimukaribisha kijana mtunzi muimbaji toka Bongo King Blais wa kundi la Fm Academia hapo kwenye Jam session ikiwa ijuma ya tarehe 02/05/08 hapa mjini Stockholm. King alikuja katika shughuli zake za kifamilia na biashara ya muziki na katoa Onyesho kabambe alipo vamia Mic akiwa na bwana Pablo Machine,na bwana Vumbi akiikunguta lile guitar lake la Solo hapo tukiwa na wa dada wetu wa ki Afrika wakipendeza,siku hiyo palikuwepo ana show tafauti ikiwemo mwana muziki toka Congo Karmapa alikua akipiki hapo jerani Södra teatre. J/mosi 03/05/08 Stockholm media: Lilla Wien restaurang (Södra Station) Ilikua mambo poa kabisa wakiwemo wanamuziki wa kongwe na wakali katika miondoko ya rhumba,soukous,na kama munavya jua wakina Samy Kasule alikuwepo akiimba nyimbo ambazo ametunga yeye ikiwemo version yake ya "Shauri yako" ya english version na zinginezo. Palikua Yaya Sela akiimba,Getty Doein,Pablo Machine na Samy Kasule na msichana wanaimba naye yeye ni mwenyeji wa hapa alkini anaimba lugha nyingi. Drums zilishambuliwa na Papa top(Kumbi) Keyboard Papa Blanchar na bass Joseph wakibadilishana na Samy K,na Robert . Watu walioshambulia siku hiyo yaJ/mosi paliwaka moto wa mashabiki kupendewa na kupanda nafasi kama sisi wa Afrika tunaoishi hapa mjini lazima tuwe na mahali ya burudani hata mara moja kwa mwezi ina pendeza kabisa. JKama ulikua huja tembelea Södra Station ipo karibu kutambua sehemu yenyewe ukiulizia watu uta papata kiuraisi. Tarehe nyingine ni kama Fri 16 and Sat 17 Mai 2008 at Södra Station Muna karibishwa wote mavazi ni muhimu ku vaa kiustarabu,kiingilio ni bure kuanzia saa tatu usiku time 21-01 hadi saa saba usiku.